
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.John Pombe Magufuli
amefanya ziara ya kushtukiza kwa kutembea kwa miguu kutoka Ikulu hadi
katika Wizara ya Fedha na kukagua utendaji kazi wa wafanyakazi wa ofisi
hizo, hata hivyo alikuta baadhi ya maofisa wakiwa nje ya ofisi zao.
Tazama Video hii kuona kilichotokea
(function(d, s, id) { var js, fjs =...
No comments:
Post a Comment