
John Pombe Joseph Magufuli (56) ameapishwa mapema leo kuwa Rais wa tano
wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania katika uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam. Baada ya kuapishwa na Jaji Mkuu wa Tanzania Jaji Othaman Chande Rais John Magufuli alitoa neno la shukrani kwa watanzania na kuwataka washindani wake saba waliokuwa wakichuana katika uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 25 mwaka huu kuweka ...
Tanzania katika uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam. Baada ya kuapishwa na Jaji Mkuu wa Tanzania Jaji Othaman Chande Rais John Magufuli alitoa neno la shukrani kwa watanzania na kuwataka washindani wake saba waliokuwa wakichuana katika uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 25 mwaka huu kuweka ...
No comments:
Post a Comment