
Hatimaye, Dkt. John Magufuli ameapishwa rasmi na kuwa Rais wa
serikali ya awamu ya Tano ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania
akihitimisha rasmi uongozi wa serikali ya awamu ya nne iliyoongozwa na
Rais mstaafu, Jakaya Kikwete.
Rais Magufuli na makamu wake Bi.
Samia Suluhu wamekula kiapo leo katika sherehe zilizofanyika katika
uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam mbele ya viongozi...
No comments:
Post a Comment